Programu ya Uchumi Imara inalenga kuchunguza na kuimarisha uhusiano kati ya maadili na maendeleo ya kiuchumi. Inalenga kuwajengea vijana, wafanyakazi, wafanyabiashara na wajasiriamali uelewa wa namna mmomonyoko wa maadili unavyoathiri uchumi binafsi na wa taifa. Kupitia tafiti, mafunzo na mijadala ya kitaaluma, programu inakuza nidhamu ya kifedha, uaminifu katika biashara, uwekezaji wenye maadili na matumizi sahihi ya rasilimali na fursa zilizopo.
Makundi yanayolengwa:
Lengo: