Programu hii inalenga kuimarisha maadili katika mifumo ya malezi kwa wazazi na walezi wa mazingira tofauti. Inalenga kuboresha mahusiano ya wazazi, wachumba na wanandoa kama msingi wa malezi yenye uwajibikaji na tija. Kupitia mafunzo, majukwaa ya majadiliano na ushauri wa kimaadili, programu inalenga kuongeza uelewa wa wajibu wa wazazi na walezi katika kulea watoto wenye maadili thabiti, utambuzi wa kusudi la maisha, lengo la kuishi na uwezo wa kuchangia maendeleo ya familia na jamii kwa ujumla kwa kuishi maisha yenye kuacha alama chanya.
Makundi yanayolengwa:
Lengo: